Mara baada ya majigambo ya msemaji wa Black sailors ya kusema kuwa watashinda katika mechi yao kati ya Polisi hatimae wakubali kutoka sare katika mchezo huo.
Timu ya Black sailors na Polisi leo zimeshindwa kutambiana katika mchezo wa muendelezo wa ligi kuu ya Zanzibar kanda ya Unguja,baada ya kutoka sare ya bila kufungana.Katika mchezo huo timu zote zilionekana kutafuta alama tatu muhimu katka ligi hiyo.

Black sailors iliyovalia jezi rangi nyeusi na Polisi imevalia jezi rangi nyeupe.
Kocha wa timu ya kikosi cha Polisi Ali Suleiman Mtuli amesema kuwa, hawakutakiwa kutoka sare katika mchezo huo ila walitakiwa washinde lakini ameongez
...
Read more »