Home
Sign Up
Log In
Monday
06.23.2025
10:50 AM
Welcome Guest | RSS

            SALMA SPORTS MEDIA


    PATA HABARI MOTOMOTO ZA MICHEZO NDANI NA NJE YA

NCHI. 

                                                                                                                 TANGAZA NASI



WASILIANA NASI KUPITIA +255 779 518 500 / +255 772 997 018 / +255 678 043 812; email: salmahassan040@gmail.com / salminjsalmin@gmail.com



Site menu

Our poll
Rate my site
Total of answers: 3

Statistics

Total online: 2
Guests: 2
Users: 0

  
Home » 2016 » February » 16 » Kobe Bryant aiteka mitandao ya jamii baada ya NBA All Star
8:36 AM
Kobe Bryant aiteka mitandao ya jamii baada ya NBA All Star

Mkali wa mpira wa kikapu kutoka Marekani Kobe Bryant, alicheza mechi yake ya NBA All Star kwa mara mwisho iliyoandaliwa mjini Toronto nchini Canada.

Nyota wa Los Angeles Lakers Kobe Bryant apewa heshima kubwa wakati wa mechi yake ya mwisho ya NBA All Star

Kobe Bryant alipewa heshima kubwa ya kuagwa na jumuiya ya NBA baada ya kutangaza mpango wa kustaafu uchezaji mwishoni mwa msimu huu.

Kobe Bryant mwenye umri wa miaka 37, alipewa heshima kubwa na wapenzi wa mpira wa kikapu dakika chache kabla ya mechi ya NBA All Star kumalizika.

Kobe Bryant ambaye amecheza katika ligi ya NBA kwa misimu 20, alisambaza picha na video za NBA All Star akiwa na wachezaji wenzake kwenye mitandao ya jamii na kuweza kufikia mashabiki zaidi ya milioni 1 ndani ya muda mchache.

Views: 171 | Added by: salminjsalmin | Rating: 0.0/0
Total comments: 0
avatar

Visitors
idadi ya watembeleaji
Idadi ya watembeleaji

WATEMBELEAJI

Entries archive

Salma Sport Media © 2025
uCoz