Home
Sign Up
Log In
Monday
06.23.2025
1:10 PM
Welcome Guest | RSS

            SALMA SPORTS MEDIA


    PATA HABARI MOTOMOTO ZA MICHEZO NDANI NA NJE YA

NCHI. 

                                                                                                                 TANGAZA NASI



WASILIANA NASI KUPITIA +255 779 518 500 / +255 772 997 018 / +255 678 043 812; email: salmahassan040@gmail.com / salminjsalmin@gmail.com



Site menu

Our poll
Rate my site
Total of answers: 3

Statistics

Total online: 1
Guests: 1
Users: 0

  
Home » 2016 » February » 16 » Neymar alalamika Suarez kamuibia penati ya Messi.
8:17 AM
Neymar alalamika Suarez kamuibia penati ya Messi.

 

Moja ya story kubwa sasa hivi kwenye soka ni kuhusu penati ya Messi kwenye mechi dhdi ya Celta Vigo. Penati ile ambayo Messi amempasia mpira na Suarez akafunga inasemekana ilikua ni ya Suarez.

Kwenye video inaonyesha jinsi Neymar alivyoenda kuiomba kwa Messi mara baada ya kukwatuliwa. Baada ya kupiga ile pasi, Suarez akatoka mbio na kwenda kufuga goli.

Baada ya kushangilia Neymar alionekana akimlaumu Suarez kwamba ameiba penati yake wakati yeye ndiye ilibidi aipige.

Messi na Suarez walionekana kumcheka Neymar akilalamika na Suarez akijitahidi kujitetea baada ya kuipiga.

Views: 208 | Added by: salminjsalmin | Rating: 0.0/0
Total comments: 0
avatar

Visitors
idadi ya watembeleaji
Idadi ya watembeleaji

WATEMBELEAJI

Entries archive

Salma Sport Media © 2025
uCoz