Home
Sign Up
Log In
Monday
06.23.2025
1:19 PM
Welcome Guest | RSS

            SALMA SPORTS MEDIA


    PATA HABARI MOTOMOTO ZA MICHEZO NDANI NA NJE YA

NCHI. 

                                                                                                                 TANGAZA NASI



WASILIANA NASI KUPITIA +255 779 518 500 / +255 772 997 018 / +255 678 043 812; email: salmahassan040@gmail.com / salminjsalmin@gmail.com



Site menu

Our poll
Rate my site
Total of answers: 3

Statistics

Total online: 1
Guests: 1
Users: 0

  
Home » 2016 » February » 20

Sepp Blatter amesema hatomuunga mkono yeyote kati ya wagombea watano wanaosimama katika uchaguzi wa kumrithi kama rais wa FIFA, japokuwa wote isipokuwa mmoa wamezungumza naye kuhusu maombi yao

... Read more »

Views: 205 | Added by: salminjsalmin | Date: 02.20.2016 | Comments (0)

Aliyekuwa rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter amesisitiza kuwa kura ya kuandaa kombe la dunia mwaka 2022 haikupangwa ,akisema ''huwezi kununua kombe la dunia''.

... Read more »

Views: 214 | Added by: salminjsalmin | Date: 02.20.2016 | Comments (0)

Manchester City imesema kuwa italipatia kipau mbele kombe la vilabu bingwa Ulaya badala ya mechi ya raundi ya tano ya FA dhidi ya Chelsea siku ya jumapili huko Stamford Bridge,kulingana na kocha Manuel Pellegrini.

... Read more »

Views: 195 | Added by: salminjsalmin | Date: 02.20.2016 | Comments (0)

Yanga imefuta rekodi ya kocha Jackson Mayanja ya ushindi mfululizo baada ya kupata ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Simba mchezo wa ligi kuu ya Vodacom uliozikutanisha timu hizo kwenye mchezo wa marudiano.

 

... Read more »

Views: 221 | Added by: salminjsalmin | Date: 02.20.2016 | Comments (0)

 

Serikali na wadau wa michezo nchini Tanzania hasa Zanzibar wametakiwa kutolalia upande mmoja tu kunua na kuendeleza kwa kasi michezo na badala yake wameshauriwa kuangalia kila kona ya michezo inayochezwa nchini.

 

... Read more »

Views: 224 | Added by: salminjsalmin | Date: 02.20.2016 | Comments (0)

Mchezaji nyota wa timu ya taifa ya Uganda Farouk Miya amejiunga na klabu ya Standard de Liège inayocheza ligi kuu ya Ubelgiji.

... Read more »

Views: 224 | Added by: salminjsalmin | Date: 02.20.2016 | Comments (0)

Mabaharia wa KMKM,wamewazabua Kipanga mabao matano kwa moja 5-1 katika mchezo wa muendelezo wa ligi kuu ya Zanzibar kanda ya Unguja uliosukumwa jana jioni ndani ya dimba la Amani mjini Zanzibar.

Katika mchezo huo timu ya Kipanga iliovalia jezi rangi nyeupe, ilionekana kucheza chini ya kiwango, na kuweza kushambuliwa na KMKM mara kwa mara katika lango lao, na ndipo mchezaji Mudrik Muhib alipoanza kupachika bao la kwanza ndani ya dakika ya 19 .

... Read more »

Views: 339 | Added by: salminjsalmin | Date: 02.20.2016 | Comments (0)


Visitors
idadi ya watembeleaji
Idadi ya watembeleaji

WATEMBELEAJI

Entries archive

Salma Sport Media © 2025
uCoz