Home
Sign Up
Log In
Monday
06.23.2025
10:41 AM
Welcome Guest | RSS

            SALMA SPORTS MEDIA


    PATA HABARI MOTOMOTO ZA MICHEZO NDANI NA NJE YA

NCHI. 

                                                                                                                 TANGAZA NASI



WASILIANA NASI KUPITIA +255 779 518 500 / +255 772 997 018 / +255 678 043 812; email: salmahassan040@gmail.com / salminjsalmin@gmail.com



Site menu

Our poll
Rate my site
Total of answers: 3

Statistics

Total online: 1
Guests: 1
Users: 0

  
Home » 2016 » February » 15 » WEST COAST WATOSHANA NGUVU NA KIDONGOCHEKUNDU.
10:09 PM
WEST COAST WATOSHANA NGUVU NA KIDONGOCHEKUNDU.

Ligi daraja la pili wilaya ya Mjini imeedelea ndani ya uwanja wa Amani kwa kuchezwa mtanange kati ya West coast na Kidongochekundu na mchezo huo kumalizika kwa sare ya bila kufungana.

 

kikosi cha kidongochekundu baada ya mechi wakiwa na machofu.

Katika mchezo huo kila timu ilikuwa ina hamu ya kutaka kuondoka na ushindi lakini hadi mpira huo ulipomaliza timu hizo ziliweza kugawana alama baada ya kutokufungana.

kikosi cha West coast baada ya mtanange.

West cost imekuwa ikisuasua katika ligi hiyo kwani mpaka sasa wamekuwa na alama nane baada ya mechi hiyo, huku Kdongochekundu wakiwa katika nafasi nzuri ya kutaka kupanda daraja .

Views: 167 | Added by: salminjsalmin | Rating: 0.0/0
Total comments: 0
avatar

Visitors
idadi ya watembeleaji
Idadi ya watembeleaji

WATEMBELEAJI

Entries archive

Salma Sport Media © 2025
uCoz