Vipaji,viwango vya hali ya juu ni hivi hapa lakini leo hii sijui kwanini vinasahaulika kabisa.

Hizi ndio nuru za baabae. Academy ziko wapi za kuwaenzi na kuwatunza vijana kama hawa,unafikiri watoto kama hawa wakitunzwa nini kitafuata baadae au ndio tuendelee kununua tu kutoka nje na tuache kuzalisha vyetu wenyewe. Nilazima tuviendeleze vipaji vya watoto ili na wao waweze kua wachezaji bora duniani.
Hawa ni wachezaji mahiri wa Mpendae city katika kiwango cha Juvenile,kushoto ni Ahmed Abudu na kulia ni Mukrim Khatib, wakiwa katika uwanja Wa Amani mjini Zanzibar.
|