Home
Sign Up
Log In
Monday
06.23.2025
1:31 PM
Welcome Guest | RSS

            SALMA SPORTS MEDIA


    PATA HABARI MOTOMOTO ZA MICHEZO NDANI NA NJE YA

NCHI. 

                                                                                                                 TANGAZA NASI



WASILIANA NASI KUPITIA +255 779 518 500 / +255 772 997 018 / +255 678 043 812; email: salmahassan040@gmail.com / salminjsalmin@gmail.com



Site menu

Our poll
Rate my site
Total of answers: 3

Statistics

Total online: 1
Guests: 1
Users: 0

  
Home » 2016 » February » 17 » SIMBA NA YANGA KUKWAANA LIGI KUU.
8:29 AM
SIMBA NA YANGA KUKWAANA LIGI KUU.

Nchini Tanzania Gumzo miongoni mwa wapenzi wa Soka ni kuhusiana na Mechi kubwa ya watani wa Jadi vilabu vikongwe vya Yanga na Simba itakayofanyika mwishoni mwa juma lakini kubwa zaidi sasa linalojadiliwa ni baada ya shirikisho la Soka nchini humo kutangaza kuwa mwamuzi wa mchezo huo ni mwanamama Jonesia Rukiyaa.

Mitandao inasema mwanadada huyo ni mmoja wa marefa ambao wanasimamia sheria za uwanjani kwa hakika bila kupundisha na kwa kawaida mchezo kati ya Yanga na Simba huwa ni mchezo wenye joto la hali ya juu.

Views: 218 | Added by: salminjsalmin | Rating: 0.0/0
Total comments: 0
avatar

Visitors
idadi ya watembeleaji
Idadi ya watembeleaji

WATEMBELEAJI

Entries archive

Salma Sport Media © 2025
uCoz