Home
Sign Up
Log In
Monday
06.23.2025
12:40 PM
Welcome Guest | RSS

            SALMA SPORTS MEDIA


    PATA HABARI MOTOMOTO ZA MICHEZO NDANI NA NJE YA

NCHI. 

                                                                                                                 TANGAZA NASI



WASILIANA NASI KUPITIA +255 779 518 500 / +255 772 997 018 / +255 678 043 812; email: salmahassan040@gmail.com / salminjsalmin@gmail.com



Site menu

Our poll
Rate my site
Total of answers: 3

Statistics

Total online: 1
Guests: 1
Users: 0

  
Home » 2016 » February » 18 » RONALDO AWAJIBU WAANDISHI KWA VITENDO.
7:02 AM
RONALDO AWAJIBU WAANDISHI KWA VITENDO.

 

Christian Ronaldo ni kama amewajibu kwa vitendo wanahabari wale ambao jumanne alikataa kuendelea kuongea nao pale alipoulizwa kuhusu ukame wa magoli ya ugenini. Goli lake la 33 la Musimu limeisaidia Real Madrid kusogelea robo fainali ya Champions Ligi. Kikosi kilichoko chini ya Zinedine Zidane kimeichapa Roma bao mbili kwa moja.

Kabla ya Mechi hiyo Mshambuliaji huyo alikuwa ameondoka kwa hasira katika katika chumba cha mahojiano baada ya kuulizwa juu ya rekodi ya ufungaji magoli katika mechi za ugenini msimu huu.

Ronaldo mwenye miaka 31, mpaka hapo alikuwa amefunga magoli 32 msimu huu lakini hakuwa amefunga nje tangu mwezi Novemba. "Nani mwingine amefunga magoli mengi ugenini kuliko mimi tangu nimekuja Hispania?Ronaldo mfungaji namba moja wa Championzi Ligi aliuliza kwa kukereka" Taja mchezaji mmoja ambaye amefunga kuliko mimi. Hakuna jibu? Sawa. Asante" Akaondoka.

Views: 196 | Added by: salminjsalmin | Rating: 0.0/0
Total comments: 0
avatar

Visitors
idadi ya watembeleaji
Idadi ya watembeleaji

WATEMBELEAJI

Entries archive

Salma Sport Media © 2025
uCoz