Home
Sign Up
Log In
Monday
06.23.2025
11:10 AM
Welcome Guest | RSS

            SALMA SPORTS MEDIA


    PATA HABARI MOTOMOTO ZA MICHEZO NDANI NA NJE YA

NCHI. 

                                                                                                                 TANGAZA NASI



WASILIANA NASI KUPITIA +255 779 518 500 / +255 772 997 018 / +255 678 043 812; email: salmahassan040@gmail.com / salminjsalmin@gmail.com



Site menu

Our poll
Rate my site
Total of answers: 3

Statistics

Total online: 1
Guests: 1
Users: 0

  
Home » 2016 » February » 17 » MASHABIKI WA MANCHESTER KUPINGA BEI.
8:43 AM
MASHABIKI WA MANCHESTER KUPINGA BEI.

 

Mashabiki wa Manchester United wana mpango wa kuipinga Bei ya pauni 71 wanayotakiwa kulipia ili kuona mechi yao ya Europa Ligi dhidi ya Midtjylland hapo kesho.

Mechi kama hiyo hiyo mashabiki wa Southampton walitozwa pauni 22 sasa Mashabiki wa Manchester United wanalalamika wanasema kwani waliopanga viingilio wanadhani mashabiki wa manchester ni matajiri mara tatu zaidi ya mashabiki wa Southampton?

Views: 143 | Added by: salminjsalmin | Rating: 0.0/0
Total comments: 0
avatar

Visitors
idadi ya watembeleaji
Idadi ya watembeleaji

WATEMBELEAJI

Entries archive

Salma Sport Media © 2025
uCoz