Home
Sign Up
Log In
Tuesday
06.24.2025
2:21 AM
Welcome Guest | RSS

            SALMA SPORTS MEDIA


    PATA HABARI MOTOMOTO ZA MICHEZO NDANI NA NJE YA

NCHI. 

                                                                                                                 TANGAZA NASI



WASILIANA NASI KUPITIA +255 779 518 500 / +255 772 997 018 / +255 678 043 812; email: salmahassan040@gmail.com / salminjsalmin@gmail.com



Site menu

Our poll
Rate my site
Total of answers: 3

Statistics

Total online: 1
Guests: 1
Users: 0

  
Home » 2016 » February » 17 » MANNY PACQUIAO AOMBA RADHI.
8:55 AM
MANNY PACQUIAO AOMBA RADHI.

Mwanamasumbwi Manny Pacquiao amelazimika kuomba radhi kutokana na upinzani mkubwa alioupata kutoka kwa wale wanaounga mkono uhusiano ya jinsia moja.

Sakata hili limeanza pale ambapo Pacquaio ambaye pia ni mbunge huko kwao ufilipino aliposema kupitia televisheni kuwa matendo ya jinsia moja ni mabaya kuliko ya wanyama.

Mwanandondi huyo alisema, kwa akili ya kawaida hata wanyama wanajua huyu dume huyu jike, mnyama dume hampandi mnyama dume na jike hampandi mnyama jike, kwa hivyo wanadamu tukiruhusu uhusiano wa jinsia moja basi tunafanya matendo mabaya kuliko hata hao wanyama.

Watu walipomzonga sana, akaweka mtandaoni , picha yake akiwa na mkewe, sasa wamemzonga zaidi kawaomba msamaha lakini akawaambia nimeusema ukweli kama ulivyo kwenye misahafu, Mungu awabariki na ninawaombea.

bbc.

Views: 196 | Added by: salminjsalmin | Rating: 0.0/0
Total comments: 0
avatar

Visitors
idadi ya watembeleaji
Idadi ya watembeleaji

WATEMBELEAJI

Entries archive

Salma Sport Media © 2025
uCoz