Pia katika mchango wa kukuza na kuboresha , mawazo yako ni muhimu kwa Academy hiyo na yanatakikana.
Tumia accnt ya fb kwa kutafuta jina la …Armando Phili , ni miongoni mwa wakuu wa Academy ili kuwasiliana nae kwa maelezo, au tutafute kupitia
email:mandozisportsacademy@Yahoo.com
Au simu nambari 0785464461
Na website yetu ipo katika matengenezo na maboroshe ya mwisho na itakua tayari hivi karibuni.
Tunahitaji wadau na tunathamini sana mawazo yako,tunaomba jitokezeni tupige hatua kisoka nchini.
SHIRIKIANA NASI KATIKA KUKUZA SOKA NCHINI TANZANIA