Home
Sign Up
Log In
Monday
06.23.2025
9:03 AM
Welcome Guest | RSS

            SALMA SPORTS MEDIA


    PATA HABARI MOTOMOTO ZA MICHEZO NDANI NA NJE YA

NCHI. 

                                                                                                                 TANGAZA NASI



WASILIANA NASI KUPITIA +255 779 518 500 / +255 772 997 018 / +255 678 043 812; email: salmahassan040@gmail.com / salminjsalmin@gmail.com



Site menu

Our poll
Rate my site
Total of answers: 3

Statistics

Total online: 1
Guests: 1
Users: 0

  
Home » 2016 » February » 15 » LIGI KUU YA ZANZIBAR KANDA YA UNGUJA KUENDELEA LEO HII.
10:38 AM
LIGI KUU YA ZANZIBAR KANDA YA UNGUJA KUENDELEA LEO HII.

Ligi kuu ya Zanzibar kanda ya Unguja itaendelea leo hii kwa kuanzwa kuchezwa mchezo wa mzunguko wa pili kati ya timu ya KVZ na Mtende, mchezo ambao utachezwa majira ya saa kumi 10:00 za jioni ndani ya dimba la Amani mjini Zanzibar.

Mchezo huo utakuwa ni wa raundi ya kumi na sita (16) ambapo KVZ wataingia uwanjani wakiwa nafasi ya sita (6) na alama ishirini 20,huku wakiwa wameshacheza michezo kumi na tatu (13), wameshinda michezo sita (6), wamepoteza michezo mitano (5) na sare michezo miwili (2).

Wakati wapinzani wao Mtende wakiwa ndio wanaoshika mkia wakiwa na alama sita(6), ambao wamecheza michezo kumi na tatu (13),wameshinda mchezo mmoja, wamefungwa michezo tisa (9) na wametoka sare michezo mitatu(3) katika ligi hiyo.

Je? Mdau wa soka wewe karata yako unaitupia wapi katika mchezo huu wa leo?

 

Views: 211 | Added by: salminjsalmin | Rating: 4.0/1
Total comments: 0
avatar

Visitors
idadi ya watembeleaji
Idadi ya watembeleaji

WATEMBELEAJI

Entries archive

Salma Sport Media © 2025
uCoz