Mbali na kuwa mkabaji mzuri na mchezesha timu kijana huyu ana sifa za kufunga akitokea sehemu ya kiungo.

Umri wake ni miaka 17 tu mbali na kucheza kikosi cha vijana cha Yanga msimu huu katika ligi daraja la kwanza lakini pia amesajiliwa na timu ya polisi Mara ambapo alisajiliwa dirisha dogo na kucheza jumla ya mechi 4 hadi sasa na kufunga magoli 3 na kuifanya polisi kutopoteza mchezo wowote hadi sasa.