Home
Sign Up
Log In
Tuesday
06.24.2025
4:36 PM
Welcome Guest | RSS

            SALMA SPORTS MEDIA


    PATA HABARI MOTOMOTO ZA MICHEZO NDANI NA NJE YA

NCHI. 

                                                                                                                 TANGAZA NASI



WASILIANA NASI KUPITIA +255 779 518 500 / +255 772 997 018 / +255 678 043 812; email: salmahassan040@gmail.com / salminjsalmin@gmail.com



Site menu

Our poll
Rate my site
Total of answers: 3

Statistics

Total online: 1
Guests: 1
Users: 0

  
Home » 2016 » February » 18 » FC Midtjylland yajitetea.
7:22 AM
FC Midtjylland yajitetea.

FC Midtjylland ya Denmark wameutetea uamuzi wao wa kuwauzia Tiketi mashabiki wa Manchester United kwa pauni 71 wakisema ni suala linaloendeshwa kwa mujibu wa Soko. Bila shaka mahitaji makubwa, yanafanya bei kupanda.

Mashabiki wa United ambao pia leo Timu yao itamkosa Nahodha wao Majeruhi Wayne Rooney ambaye amefunga mabao saba katika mechi zake tisa za mwisho tayari wametengeneza mabango yenye ujumbe wa kulalamika kupinga gharama hiyo wakidai ni kubwa.

Mwezi Ogasti Mashabiki wa Southamton walilipishwa pauni 22 katika Uwanja huo huo, ligi hii hii ya Europa.

Views: 192 | Added by: salminjsalmin | Rating: 0.0/0
Total comments: 0
avatar

Visitors
idadi ya watembeleaji
Idadi ya watembeleaji

WATEMBELEAJI

Entries archive

Salma Sport Media © 2025
uCoz