Home
Sign Up
Log In
Monday
06.23.2025
1:06 PM
Welcome Guest | RSS

            SALMA SPORTS MEDIA


    PATA HABARI MOTOMOTO ZA MICHEZO NDANI NA NJE YA

NCHI. 

                                                                                                                 TANGAZA NASI



WASILIANA NASI KUPITIA +255 779 518 500 / +255 772 997 018 / +255 678 043 812; email: salmahassan040@gmail.com / salminjsalmin@gmail.com



Site menu

Our poll
Rate my site
Total of answers: 3

Statistics

Total online: 1
Guests: 1
Users: 0

  
Home » 2016 » February » 19 » Dabi ya Simba na Yanga kupigwa kesho
7:49 AM
Dabi ya Simba na Yanga kupigwa kesho
Ligi kuu ya Tanzania bara itaendelea tena hapo kesho kwa jumla ya michezo sita kuchezwa.

Macho na masikio ya wapenda soka yatakua yakisubiri kwa hamu Dabi ya kariakoo kati ya Wekundu wa msimbazi Simba Sport Klabu, dhidi ya timu ya wananchi Dar Young Afrikans Yanga, mchezo utakaopigwa kwenye dimba la taifa Jijini Dar Es Salaam.

Michezo mingine itayaopigwa hapo kesho Mgambo Jkt wataonyeshana ubavu na Tanzania Prisons, Stand United wao watawalika Jkt Ruvu.

Mbeya City wao watakua nyumbani Sokoine kukupiga na Wanalambalamba Azam FC , huku wanalizombe Majimaji wakikipiga na wakata miwa wa Mtibwa Sugar .Toto Africans ya Mwanza, wao watawalika jirani zao kutoka mkoani Kagera, Kagera Sugar.

Views: 303 | Added by: salminjsalmin | Rating: 0.0/0
Total comments: 0
avatar

Visitors
idadi ya watembeleaji
Idadi ya watembeleaji

WATEMBELEAJI

Entries archive

Salma Sport Media © 2025
uCoz