Home
Sign Up
Log In
Monday
06.23.2025
9:06 AM
Welcome Guest | RSS

            SALMA SPORTS MEDIA


    PATA HABARI MOTOMOTO ZA MICHEZO NDANI NA NJE YA

NCHI. 

                                                                                                                 TANGAZA NASI



WASILIANA NASI KUPITIA +255 779 518 500 / +255 772 997 018 / +255 678 043 812; email: salmahassan040@gmail.com / salminjsalmin@gmail.com



Site menu

Our poll
Rate my site
Total of answers: 3

Statistics

Total online: 1
Guests: 1
Users: 0

  
Home » 2016 » February » 15 » Chelsea yainyeshea Newcastle United mvua ya magoli
7:48 AM
Chelsea yainyeshea Newcastle United mvua ya magoli

Timu ya Chelsea ilitoana jasho na Newcastle United katika mechi ya wiki ya 26 ya EPLiliyochezwa katika uwanja wa Stamford Bridge.

Chelsea yaondoka na pointi 3 baada ya ushindi mnene dhidi ya Newcastle United

Chelsea iliyoanza kwa kishindo iliweza kuleta faraja kwa mashabiki wake na kuondoka na pointi 3 baada ya kuicharaza Newcastle United bao 5-1.

Magoli ya Chelsea yalifungwa na Costa (dakika ya 5), Pedro (dakika ya 9 na 59), Willian ( dakika ya 17) na Traore (dakika ya 83).

Newcastle United nao walipata goli la futia machozi kupitia Townsend aliyefunga katika dakika ya 90.

Views: 149 | Added by: salminjsalmin | Rating: 0.0/0
Total comments: 0
avatar

Visitors
idadi ya watembeleaji
Idadi ya watembeleaji

WATEMBELEAJI

Entries archive

Salma Sport Media © 2025
uCoz