
Siku chache baada ya Simba kupokea kichapo cha bao 2-0 kutoka kwa Yanga kwenye mchezo wa VPL, kocha wa timu ya Simba Jackson Mayanja amefunguka na kusema kilichosababisha timu yake kushindwa kuibuka na ushindi kwenye mchezo dhidi ya wapinzani wao kwenye soka la Bongo.
...
Read more »