Usikose kuangalia mitanange ya kukata na shoka leo hii kwa kuchezwa michezo miwili ya muendelezo wa ligi kuu ya Zanzibar kanda ya Unguja ndani ya dimba la Amani, ambapo saa kumi za jioni Jang’ombe boys watavaana na Kipanga na majira ya saa kumi na mbili 12 za jioni, Black sailors watachuana na JKU.
Jang’ombe wameshacheza mechi kumi na tatu (13), waataingia dimbani wakiwa nafasi ya kumi (10) na alama (16), huku wakiw...a wameshinda michezo minne (4), wamepoteza mitano (5) na sare michezo minne (4), na wapinzani wao Kipanga wao wapo nafasi ya kumi na moja (11), wamecheza mechi kumi na nne (14), wameshinda mitatu (3), wamepoteza michezo minne (4), michezo saba (7) wametoka sare na wana alama kumi na sita (16).
...
Read more »