Home
Sign Up
Log In
Monday
07.01.2024
8:48 AM
Welcome Guest | RSS

            SALMA SPORTS MEDIA


    PATA HABARI MOTOMOTO ZA MICHEZO NDANI NA NJE YA

NCHI. 

                                                                                                                 TANGAZA NASI



WASILIANA NASI KUPITIA +255 779 518 500 / +255 772 997 018 / +255 678 043 812; email: salmahassan040@gmail.com / salminjsalmin@gmail.com



Site menu

Our poll
Rate my site
Total of answers: 3

Statistics

Total online: 1
Guests: 1
Users: 0

 Home page 

 

Usikose kuangalia mitanange ya kukata na shoka leo hii kwa kuchezwa michezo miwili ya muendelezo wa ligi kuu ya Zanzibar kanda ya Unguja ndani ya dimba la Amani, ambapo saa kumi za jioni Jang’ombe boys watavaana na Kipanga na majira ya saa kumi na mbili 12 za jioni, Black sailors watachuana na JKU.

Jang’ombe wameshacheza mechi kumi na tatu (13), waataingia dimbani wakiwa nafasi ya kumi (10) na alama (16), huku wakiw...a wameshinda michezo minne (4), wamepoteza mitano (5) na sare michezo minne (4), na wapinzani wao Kipanga wao wapo nafasi ya kumi na moja (11), wamecheza mechi kumi na nne (14), wameshinda mitatu (3), wamepoteza michezo minne (4), michezo saba (7) wametoka sare na wana alama kumi na sita (16). ... Read more »

Views: 360 | Added by: salminjsalmin | Date: 02.23.2016 | Comments (0)

Pep Guardiola ana mtihani mzito wa kuendelea kuipa uhai ndoto yake ya kumaliza utawala wake na Bayern Munich kwa kushinda ubingwa wa ulaya.


Leo Jumanne, Bayern wamesafiri mpaka Turin kuumana na washindi wa pili wa michuano hii msimu uliopita Juventus katika mechi ya kwanza ya raundi ya 16 bora.

... Read more »

Views: 322 | Added by: salminjsalmin | Date: 02.23.2016 | Comments (0)

Arsenal leo wanatarajiwa kuwa wenyeji wa Barcelona katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Ulaya hatua ya 16 bora kesho kabla ya kurudiana nao tena Camp Nou Machi 16 mwaka huu.

... Read more »

Views: 272 | Added by: salminjsalmin | Date: 02.23.2016 | Comments (0)

Msafara wa watu 17 wa mchezo wa Judo Zanzibar umeondoka visiwani Zanzibar mchana wa jana na kuelekea Tanzania bara ambapo leo moja kwa moja wataanza kwenda mjini Bunjubura nchini Burundi katika mashindano ya Afrika Mashariki ya mchezo huo wa Judo.
Views: 313 | Added by: salminjsalmin | Date: 02.23.2016 | Comments (0)

Siku chache baada ya Simba kupokea kichapo cha bao 2-0 kutoka kwa Yanga kwenye mchezo wa VPL, kocha wa timu ya Simba Jackson Mayanja amefunguka na kusema kilichosababisha timu yake kushindwa kuibuka na ushindi kwenye mchezo dhidi ya wapinzani wao kwenye soka la Bongo.

... Read more »

Views: 245 | Added by: salminjsalmin | Date: 02.22.2016 | Comments (0)

Mamia ya wananchi na wanamichezo visiwani Pemba jana walikishiriki katika mazishi ya aliyewa kuwa Kaimu katibu Msaidizi wa ZFA Taifa Pemba Marehemu Abdalla Suleiman Sharrif aliyefariki dunia ghafla juzi majira ya saaa saba za mchana.
Views: 462 | Added by: salminjsalmin | Date: 02.22.2016 | Comments (0)

1 2 3 ... 8 9 »

Visitors
idadi ya watembeleaji
Idadi ya watembeleaji

WATEMBELEAJI

Entries archive

Salma Sport Media © 2024
uCoz